Eder (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya 74 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Scotland kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Hampden Park mjini Glasgow, Scotland. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo, yalifungwa na Helder Costa dakika ya 43 na Bruma dakika ya 84 wakati la wenyeji lilifungwa na Steven Naismith dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brazil forward Neymar has successful knee surgery
-
Brazil and Santos forward Neymar has a successful operation on his left
knee to repair a damaged meniscus.
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment