• HABARI MPYA

    Monday, October 15, 2018

    BILA RONALDO URENO TISHIO TU, YAICHAPA SCOTLAND 3-1 GLASGOW

    Eder (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya 74 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Scotland kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Hampden Park mjini Glasgow, Scotland. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo, yalifungwa na Helder Costa dakika ya 43 na Bruma dakika ya 84 wakati la wenyeji lilifungwa na Steven Naismith dakika ya 90 na ushei 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BILA RONALDO URENO TISHIO TU, YAICHAPA SCOTLAND 3-1 GLASGOW Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top