Eder (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya 74 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Scotland kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Hampden Park mjini Glasgow, Scotland. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo, yalifungwa na Helder Costa dakika ya 43 na Bruma dakika ya 84 wakati la wenyeji lilifungwa na Steven Naismith dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates NFL Mock Draft 2024: J.J. McCarthy to Vikings Among Final
Predictions
-
J.J. McCarthy has been linked to the Minnesota Vikings since the moment
they lost Kirk Cousins to the Atlanta Falcons in free agency. That doesn't
change in…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment