• HABARI MPYA

    Sunday, November 05, 2017

    IDDI MOSHI ALIKUWA MSHAMBULIAJI VIGUMU KUMDHIBITI YANGA

    Mshambuliaji wa Yanga, Iddi Moshi Shaaban akimiliki mpira mbele ya beki wa Mtibwa Sugar, John Mabula (sasa marehemu) katika mchezo wa Kombe la Tusker mwaka 2000 Uwanja wa Taifa, sasa Uhuru mjini Dar es Salaam. Pembeni kushoto ni kiungo Salvatory Edward wa Mtibwa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IDDI MOSHI ALIKUWA MSHAMBULIAJI VIGUMU KUMDHIBITI YANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top