Kiungo wa Azam FC, Yahya Zayed akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana usiku Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam ilishinda 1-0
Mshambuliaji wa Azam, Mbaraka Yusuph akiwania mpira dhidi ya beki wa Ruvu Shooting
Winga Mghana wa Azam FC, Enock Atta-Agyei akikabiliana na mchezaji wa Ruvu Shooting
Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akimtoka mchezaji wa Ruvu
Wachezaji wa Azam na Ruvu Shooting wakisalimiana kabla ya mechi
Makamu Mwenyekiti wa Azam, Abdulkarim Amin 'Popat' akiwa na viongozi wenzake jana Chamazi
Xavier Worthy goes to the Kansas City Chiefs at No. 28 as two-time
defending champs fill their hole at receiver at 2024 NFL Draft with
dazzling Texas star... and give Patrick Mahomes a new weapon
-
The two-time defending-champion Kansas City Chiefs may have finally
addressed their hole at wide receiver with by taking Texas' Xavier Worthy
with the No. ...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment