Kiungo wa Mbeya City, Mrisho Ngassa (kulia) akimtoka beki wa Simba, Abdi Banda katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2
Beki wa Simba, Hamad Juma (kulia) akimdhibiti Bryson Raphael wa Mbeya City
Beki wa Mbeya City, Haruna Shamte akimtoka kiungo Said Ndemla jana
Refa Jacob Adongo akizungumza na wachezaji wa timu zote mbili jana
Wachezaji wa Mbeya City wakipamiana katika harakati za kuokoa mpira wa juu
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto (katikati) akizungumza na wana Mwanza wenzake, Haruna Shamte (kushoto) na Mrisho Ngassa (kulia)
Zach Wilson to Wear No. 10 Broncos Jersey After Trade from Jets
-
Quarterback Zach Wilson will have a new number to accompany his fresh start
with the Denver Broncos. The Broncos finalized the jersey numbers for their…
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment