Kiungo wa Mbeya City, Mrisho Ngassa (kulia) akimtoka beki wa Simba, Abdi Banda katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2
Beki wa Simba, Hamad Juma (kulia) akimdhibiti Bryson Raphael wa Mbeya City
Beki wa Mbeya City, Haruna Shamte akimtoka kiungo Said Ndemla jana
Refa Jacob Adongo akizungumza na wachezaji wa timu zote mbili jana
Wachezaji wa Mbeya City wakipamiana katika harakati za kuokoa mpira wa juu
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto (katikati) akizungumza na wana Mwanza wenzake, Haruna Shamte (kushoto) na Mrisho Ngassa (kulia)
The question on every Aussie cricket fan's lips is answered as team reveals
Boxing Day Test replacements for Pat Cummins and Nathan Lyon
-
Australia will once again be without Lyon and Cummins after their
match-turning efforts as the Aussies secured the urn in Adelaide.
48 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment