Kiungo wa Mbeya City, Mrisho Ngassa (kulia) akimtoka beki wa Simba, Abdi Banda katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2
Beki wa Simba, Hamad Juma (kulia) akimdhibiti Bryson Raphael wa Mbeya City
Beki wa Mbeya City, Haruna Shamte akimtoka kiungo Said Ndemla jana
Refa Jacob Adongo akizungumza na wachezaji wa timu zote mbili jana
Wachezaji wa Mbeya City wakipamiana katika harakati za kuokoa mpira wa juu
Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto (katikati) akizungumza na wana Mwanza wenzake, Haruna Shamte (kushoto) na Mrisho Ngassa (kulia)
Ben Simmons Rumors: Nets Star 'Loves the NBA Lifestyle Too Much' to
Consider Retiring
-
Ben Simmons is already back in the gym working out, but after years of
starts and stops, some have wondered if he's much longer for the NBA. Well,
wonder no…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment