• HABARI MPYA

    Monday, March 20, 2017

    MESSI AGONGA MBILI, BARCA YAILAZA 4-2 VALENCIA CAMP NOU

    Lionel Messi akikimbia kuishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 45 kwa penalti na 62 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana dhidi ya Valencia Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Luis Suarez dakika ya 35 na Andre Gomes dakika ya 89, wakati ya Valencia yalifungwa na Eliaquim Mangala dakika ya 29 kabla ya kutolewa kwa kadi nyekundu, kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 44 kwa kumuangusha Suarez na la pili likafungwa na Munir El Haddadi dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI AGONGA MBILI, BARCA YAILAZA 4-2 VALENCIA CAMP NOU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top