Lionel Messi akikimbia kuishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 45 kwa penalti na 62 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana dhidi ya Valencia Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Luis Suarez dakika ya 35 na Andre Gomes dakika ya 89, wakati ya Valencia yalifungwa na Eliaquim Mangala dakika ya 29 kabla ya kutolewa kwa kadi nyekundu, kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 44 kwa kumuangusha Suarez na la pili likafungwa na Munir El Haddadi dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England on brink of quickest Ashes surrender since 1921 as Pat Cummins and
Nathan Lyon put Australia on verge of victory
-
LAWRENCE BOOTH: Set a near-impossible 435 to prevent Australia from going
3-0 with two to play, and retaining the urn that has been theirs since
2017-18, E...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment