Nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiwa amesimama kushangilia kia aina yake baada ya kufunga mabao yote katika ushindi wa 3-0 dhidi ya mahasimu wa jiji la Madrid, Atletico Madrid jana Uwanja wa Vicente Calderon. Mreno huyo alifunga dakika za 23, 71 kwa penalti na 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Keepers: We need to respect Coventry
-
Two of our stoppers are clear on what United's mindset should be at Wembley
on Sunday.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment