• HABARI MPYA

    Sunday, November 20, 2016

    DIEGO COSTA AING'ARISHA CHELSEA ENGLAND, YASHINDA 1-0 UGENINI

    Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akiruka kushangilia baada ya kufunga The Blues bao pekee dakika ya 41 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Riverside mjini Middlesbrough  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DIEGO COSTA AING'ARISHA CHELSEA ENGLAND, YASHINDA 1-0 UGENINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top