Mshambuliaji wa Liverpool, Divock Origi akienda chini wakati anapambana na mchezaji wa West Ham United, Angelo Ogbonna katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA usiku wa jana Uwanja wa Upton Park. West Ham ilishinda 2-1 na kuitoa Liverpool, mabao yake yakifungwa na Michail Antonio na Ogbonna, wakati la Liverpool lilifungwa na Philippe Coutinho. West Ham sasa itamenyana na Blackburn katika Raundi ya Tano Uwanja wa Ewood Park PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lyon puts Australia on brink of Ashes win
-
England are on the brink of an Ashes series defeat after Australia's Nathan
Lyon broke their resistance late on the fourth day of the third Test in
Adelaide.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment