Mshambuliaji wa Mussa Hassan Mgosi jana amefunga bao lake la nne katika mechi ya 21 tangu arejee Simba SC msimu huu, ikishinda 3-0 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Kombaini ya Meatu, Bariadi mkoani Shinyanga. Mechi hiyo iliyochezwa Uwanja wa Meatu, mabao mengine ya Simba SC yalifungwa na Danny Lyanga na Said Ndemla.
Anthony Joshua vs. Jake Paul key takeaways: Paul finally gets what’s coming
to him — are we happy now?
-
Jake Paul finally got his comeuppance against Anthony Joshua in a messy
fight that took time to warm up to a full-scale tilt. Here are the five key
takeway...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment