Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuswazisha dakika ya 91 katika sare ya 1-1 na Manchester United Uwanja wa Stamford Bridge kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Man United walitangulia kupata bao kupitia kwa Jesse Lingard dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Surprise Maeda recovery boost for Celtic
-
Daizen Maeda is on course to feature in Celtic's title chase after making a
quicker than expected recovery from injury.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment