• HABARI MPYA

    Sunday, February 07, 2016

    DIEGO COSTA AINUSURU CHELSEA KULALA KWA MAN UNITED, SARE 1-1 DARAJANI

    Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuswazisha dakika ya 91 katika sare ya 1-1 na Manchester United Uwanja wa Stamford Bridge kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Man United walitangulia kupata bao kupitia kwa Jesse Lingard dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DIEGO COSTA AINUSURU CHELSEA KULALA KWA MAN UNITED, SARE 1-1 DARAJANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top