• HABARI MPYA

    Monday, February 08, 2016

    BENZEMA, LUKA MODRIC WAIBEBA REAL MADRID MECHI YA UGENINI LA LIGA

    Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Granada kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Los Carmenes. Bao lingine la Real lilifungwa na Luka Modric dakika ya 85, wakati la wenyeji limefungwa na Youssef El-Arabi dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BENZEMA, LUKA MODRIC WAIBEBA REAL MADRID MECHI YA UGENINI LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top