Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Granada kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Los Carmenes. Bao lingine la Real lilifungwa na Luka Modric dakika ya 85, wakati la wenyeji limefungwa na Youssef El-Arabi dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Target red-hot Ekitike and Semenyo - FPL team of the week
-
With Manchester City facing struggling West Ham at home this week, it's
time to triple up on Pep Guardiola's side and captain Mr Reliable Erling
Haaland.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment