Mshambuliaji wa Everton, Romelu Lukaku akifumua shuti katikati ya wachezaji wa Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Goodison Park. Timu hizo zimetoka 1-1 bao la Everton likifungwa na Lukaku, ambalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Scott Dann kuanza kwafungia Palace PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I was Henry Pollock's captain and we won a World Cup together - now I'm
ready to finally seize my England chance: Gloucester wonderkid BEN REDSHAW
on training with Steve Borthwick's team, injury agony and emulating Tommy
Freeman
-
Henry Pollock and Noah Caluori are two breakout stars of English rugby. Now
the man who captained them both in England's youth teams is ready to break
into...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment