Mshambuliaji wa Mchester United, Anthony Martial akishangilia baada ya kuifungi timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Old Trafford usiku huu.Mabao ya United yamefungwa na Daley Blind dakika ya 49, Ander Herrera dakika ya 70 kwa penalti na Anthony Martial dakika ya 65, wakati la Liverpool limefungwa na Christian Benteke dakika ya 86. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lindsey Vonn moved to intensive care as incredible new photo reveals key
detail of what caused her horror crash which broke her leg and wrecked her
Winter Olympic dream
-
Lindsey Vonn's horror crash in the women's downhill ski event at the Winter
Olympics was caused when she caught a gate with her right side, one
photograph ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment