![]() |
| Mpishi wa mabao yote ya Azam FC jana, Salum Abubakar 'Sure Boy' akimtoka kiungo wa Mbeya City, Richard Peter |
![]() |
| Mfungaji wa bao la kwanza la Azam FC, Mudathir Yahya akimtoka kiungo wa MCC, Richard Peter |
![]() |
| Mchezaji wa Mbeya City, George Mlawa akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Azam FC, Farid Mussa |
![]() |
| Nahodha wa Azam FC, John Bocco 'Adebayor' (kulia) akipambana na wachezaji wa Mbeya City |
![]() |
| Mfungaji wa bao la pili la Azam FC, Kipre Herman Tchetche akimtoka Christian Sembuli |








.png)
0 comments:
Post a Comment