• HABARI MPYA

    Monday, September 21, 2015

    GHANA, IVORY COAST MABINGWA MICHEZO YA AFRIKA 2015;

    TIMU ya taifa ya Senegal imetwaa ubingwa wa Michezo ya Afrika 2015 mjini Brazaville, Kongo baada ya kuifunga 1-0 Burkina Faso katika fainali mwishoni mwa wiki.
    Ghana nayo imetwaa Medali ya Dhahabu ya michuano hiyo upande wa wanawake baada ya kuifunga bao 1-0 pia Cameroon katika fainali.
    Mechi zote zilichezwa Uwanja wa Massamba-Debat katikati ya Jiji, Uwanja ambako ilifanyika michezo hiyo mwaka 1965.
    Wachezaji wa Senegal wakisherehekea ushindi wao juzi mjini Brazaville, Kongo

    MATOKEO MICHEZO YA AFRIKA 2015
    SOKA; 
    Wanaume:
    KUNDI ‘A’:
    Kongo 2-1 Sudan
    Zimbabwe 0-1 Burkina Faso
    Sudan 1-0 Zimbabwe
    Burkina Faso 1-2 Kongo
    Kongo 0-1 Zimbabwe
    Sudan 0-0 Burkina Faso

    KUNDI ‘B’:
    Misri ilijitoa
    Ghana 0-0 Senegal
    Nigeria 2-0 Ghana
    Senegal 1-1 Nigeria

    Wanawake:
    KUNDI ‘A’:
    Kongo 1-5 Nigeria
    Tanzania 0-1 Ivory Coast
    Nigeria 3-0 Tanzania
    Ivory Coast 1-1 Kongo
    Kongo 1-1 Tanzania
    Nigeria 1-2 Ivory Coast

    KUNDI ‘B’:
    Cameroon 1-1 Afrika Kusini
    Cameroon 1-1 Ghana
    Afrika Kusini 0-0 Ghana

    NUSU FAINALI:
    WANAWAKE:
    Ivory Coast 0-1 Ghana
    Cameroon 2-1 Nigeria

    WANAUME:
    Kongo 1-3 Senegal
    Nigeria 1-3 Burkina Faso

    MEDALI YA SHABA:
    Wanawake; Ivory Coast 2-1 Nigeria
    Wanaume; Kongo 3-5 Nigeria

    FAINALI:
    Wanawake; Ghana 1-0 Cameroon
    Wanaume; Senegal 1-0 Burkina Faso
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GHANA, IVORY COAST MABINGWA MICHEZO YA AFRIKA 2015; Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top