Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akionekana mnyonge baada ya timu yake kufungwa na Celta Vigo mabao 4-1 jana usiku mjini Vigo katika mchezo wa La Liga. Mabao ya Celta Vigo yalifungwa na Iago Aspas aliyetemwa Liverpool mawili, Nolito na John Guidetti wakati bao pekee la Barca lilifungwa na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy club gets blasted over Mad Monday costumes showing player dressed as
a schoolgirl being sexually assaulted by an AFL star
-
A senior women's football player has walked away from her club after a Mad
Monday stunt involving the men's team.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment