• HABARI MPYA

    Wednesday, September 30, 2015

    VIGUMU KUAMINI, LAKINI HUO NDIYO UKWELI...WANGA, KAVUMBANGU, MESSI WOTE 'WANACHOMA MAHINDI' AZAM FC

    Wachezaji wa akiba wa Azam FC, kutoka kulia Mrundi Didier Kavumbangu, Ramadhani Singano 'Messi', Erasto Nyoni, Mkenya Alan Wanga na Himid Mao. Chini ni kipa Mwadini Ally katika mchezo dhidi ya Mbeya City Jumapili Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VIGUMU KUAMINI, LAKINI HUO NDIYO UKWELI...WANGA, KAVUMBANGU, MESSI WOTE 'WANACHOMA MAHINDI' AZAM FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top