• HABARI MPYA

    Thursday, September 24, 2015

    BENZEMA APIGA ZOTE MBILI REAL MADRID YASHINDA 2-1 UGENINI LA LIGA


    Mshambuliaji Karim Benzema akiteleza chini kushangilia baada ya kuifungia mabao yote Real Madrid ikishinda 2-1 dhidi ya Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa San Mames. Bao la Bilbao lilifungwa na Sabin Merino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BENZEMA APIGA ZOTE MBILI REAL MADRID YASHINDA 2-1 UGENINI LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top