• HABARI MPYA

    Wednesday, September 30, 2015

    CHEKA KUZIPIGA NA MASHALI DESEMBA 25 UWANJA WA JAMHURI, MOROGORO

    Mabondia Francis Cheka (kulia) na Thomas Mashali (kushoto) wakitambulishwa na promota Kaike Siraj (katikati) katika Mkutano na Waandishi wa Habari leo mjini Dar es Salaam kuelekea pambano lao la Desemba 25, mwaka huu Uwanja wa Jamuhuri mjini Morogoro.  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHEKA KUZIPIGA NA MASHALI DESEMBA 25 UWANJA WA JAMHURI, MOROGORO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top