Bondia Gary Cornish akienda chini baada ya kupigwa ngumi ya nguvu na Anthony Joshua katika pambano la ubingwa wa Jumuiya ya Madola usiku wa kuamkia leo nchini UIngereza. Joshua alishinda kwa Knockout (KO) sekunde ya 90, hilo likiwa pambano lake la 13 mfululizo bingwa huyo wa zamani wa Olimpiki ndondi za Ridhaa kushinda tangu aanze ndondi za kulipwa. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Didn't want the season to end like this' - Grealish has surgery
-
Jack Grealish says he "didn't want the season to end like this" after
confirming he has had surgery on a foot stress fracture.
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment