• HABARI MPYA

    Monday, August 25, 2014

    YANGA SC NA SHANGANI KATIKA PICHA JANA UNGUJA

    Kiungo Mbrazil wa Yanga SC, Andrey Coutinho kulia akimtoka beki wa Shangani katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Yanga SC ilishinda 2-0.
    Coutinho akimuacha chini beki wa Shangani

    Coutinho akimzunguka beki wa Shangani

    Mshambuliaji wa Yanga SC, Geilson Santana 'Jaja' akitafuta maarifa ya kumtoka beki wa Shangani

    Winga wa Yanga SC Simon Msuba akimpiga tobo beki wa Shangani
    Coutinho akimkimbiza beki wa Shangani
    Kona iliyoelekezwa lango mwa Shangani, Hussein Javu akiwa ameruka na kipa wa Shangani

    Haruna Niyonzima akiwatoka mabeki wa Shangani

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC NA SHANGANI KATIKA PICHA JANA UNGUJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top