• HABARI MPYA

    Friday, August 29, 2014

    RATIBA EUROPA LEAGUE; SPURS YAPEWA BESIKTAS, EVERTON NA WOLFSBURG

    KLABU ya Tottenham imepangwa kundi moja na Besiktas katika Europa League wakati Everton imepangwa na Wolfsburg na Lille katika droo iliyopangwa leo mjini Monaco, Ufaransa.
    Beskitas inayoongozwa na mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Demba Ba, ilitolewa na Arsenal katika mechi za mchujo za kuwania kupangwa kwenye makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
    Mchezo wa kwanza Uturuki, Beskitas ilitoa sare ya bila kufungana na Arsenal, wakati The Gunners walishinda 1-0 katika mchezo wa marudiano Uwanja wa Emirates London, bao pekee la Alexis Sanchez.

    Kazi kazi: Romelu Lukaku (kulia) ataiongoza Everton katika Europa League

    GROUP A 

    Villarreal (Spain) 
    Borussia Monchengladbach (Germany) 
    Zurich (Switzerland) 
    Apollon (Cyprus) 

    GROUP B 

    FC Copenhagen (Denmark) 
    Club Brugge (Belgium) 
    Torino (Italy) 
    Helsinki (Finland) 

    GROUP C 

    TOTTENHAM 
    Besiktas (Turkey)
    Partizan (Serbia) 
    Asteras Tripolis FC (Greece) 

    GROUP D 

    FC Salzburg (Austria)
    CELTIC
    Dinamo Zagreb (Croatia)
    HJK FC Astra Giurgiu (Romania) 

    GROUP E 

    PSV Eindhoven (Holland) 
    Panathinaikos (Greece) 
    Estoril Praia (Portugal) 
    Dynamo Moscow (Russia) 

    GROUP F 

    Inter Milan (Italy) 
    Dnipro (Ukraine) 
    Saint-Etienne (France) 
    Qarabag (Azerbaijan) 

    GROUP G 

    Sevilla (Spain, holders) 
    Standard Liege (Belgium) 
    Feyenoord (Holland) 
    HNK Rijeka (Croatia) 

    GROUP H

    Lille (FRA)
    Wolfsburg (Germany)
    EVERTON
    FC Krasnodar (Russia) 

    GROUP I

    Napoli (Italy) 
    Sparta Prague (Czech Republic) 
    BSC Young Boys (Switzerland) 
    SK Slovan Bratislava (Slovakia) 

    GROUP J

    Dynamo Kiev (Ukraine)
    Steaua Bucharest (Romania) 
    Rio Ave FC (Portugal) 
    Aalborg BK (Denmark) 

    GROUP K

    Fiorentina (Italy) 
    PAOK FC (Greece) 
    EA Guingamp (France) 
    Dinamo Minsk (Belarus) 

    GROUP L

    Metalist Kharkiv (Ukraine) 
    Trabzonspor (Turkey) 
    GD Legia Warsaw (Poland) 
    KSC Lokeren OV (Belgium) 
    Champions: La Liga's Sevilla celebrate their Europa League final victory in Turin last year
    Champions: La Liga's Sevilla celebrate their Europa League final victory in Turin last year
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RATIBA EUROPA LEAGUE; SPURS YAPEWA BESIKTAS, EVERTON NA WOLFSBURG Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top