KLABU ya Chelsea imekamilisha uhamisho wa Loic Remy kwa dau la Pauni Milioni 8 kutokaq QPR.
Remy aliyekuwa anatakiwa pia na Arsenal, anakwedna kuziba nafasi ya Fernando Torres aliyehamia AC Milan kwa mkopo wa mural mrefu.
Uhamisho huu ni faraja kwa Remy ambaye sasa anakwenda kujiunga na klabu inayocheza Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kocha Mreno, Jose Mourinho alihitaji mshambuliaji baada ya kumtoa kwa mkopo Torres.
Mambo safi: Chelsea imekamilisha uhamisho wa mshambuliaji Loic Remy kutoka QPR
0 comments:
Post a Comment