ARSENAL ILE KAMILI GADO KUELEKEA 'GEMU' NA WATURUKI KESHO LIGI YA MABINGWA
Maandalizi: Kocha Arsene Wenger akiiongoza Arsenal mazoezini leo kujiandaa na mchezo wa marudiano wa mchujo Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Beskitas Uwanja wa Emirates kesho. Kutokana na Olivier Giroud kuwa majeruhi kwa sasa, Alexis Sanchez anatarajiwa kuongoza safu ya ushambuliaji
Alex Oxlade-Chamberlain akifanya mazoezi na wenzake Arsenal kuelekea mchezo na Besiktas
Arsenal itahitaji Mesut Ozil acheze kwa kiwango cha juu ili kuing'oa Besiktas baada ya sare ya mchezo wa kwanza ugenini
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment