BALOTELLI AJIFUA PEKE YAKE LIVERPOOL WENZAKE WAKIWA WAMELALA BAADA YA KICHAPO JANA
Kujiweka fiti: Mshambuliaji Mario Balotelli akifanya mazoezi peke yake leo Liverpool wakati wachezaji wenzake wakiwa mapumzikoni baada ya kuchapwa mabao 3-1 jana na Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad
Balotelli anatumai kucheza mechi ya kwanza dhidi ya Tottenham Jumapili
Balotelli akiongozwa na mmoja wa makocha wa Liverpool
Balotelli amejiunga na Liverpool juzi kwa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 16 kutoka AC Milan
Öffentliches Training am Dienstag in Brackel
-
Am Dienstag, 24. April 2024, ab ca. 10:30 Uhr trainieren Borussia Dortmunds
Profis auf dem Trainingsgelände Hohenbuschei in Brackel öffentlich.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment