BALOTELLI AJIFUA PEKE YAKE LIVERPOOL WENZAKE WAKIWA WAMELALA BAADA YA KICHAPO JANA
Kujiweka fiti: Mshambuliaji Mario Balotelli akifanya mazoezi peke yake leo Liverpool wakati wachezaji wenzake wakiwa mapumzikoni baada ya kuchapwa mabao 3-1 jana na Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad
Balotelli anatumai kucheza mechi ya kwanza dhidi ya Tottenham Jumapili
Balotelli akiongozwa na mmoja wa makocha wa Liverpool
Balotelli amejiunga na Liverpool juzi kwa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 16 kutoka AC Milan
Morocco calls up Brahim Diaz after making decision
-
Real Madrid playmaker Brahim Diaz has made his decision to play for
Morocco, amid criticism for the Spanish Football Federation (RFEF). The
24-year-old, ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment