
Torres akiwa na Mtendaji Mkuu wa AC Milan, Adriano Galliani baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Linate

Torres akiwa amezongwa na mashabiki wakati anakwenda kufanyiwa vipimo vya afya kliniki ya Madonnina

Mashabiki wakijaribu kupiga picha na Torres

Torres akisaini jezi za mashabiki

Mashabiki wakipiga nays picha

Huyu alikwenda na jezi ya Torres enzi za Liverpool ili asinine na mchezaji huyo



.png)
0 comments:
Post a Comment