• HABARI MPYA

    Sunday, August 24, 2014

    DIEGO COSTA AKIVUTA MEHELA BAADA YA KUIPIGIA BAO CHELSEA JANA


    Piga bao, vita mkwanja; Mshambuliaji mpya wa Chelsea Diego Costa aliyenunuliwa kwa Pauni Milioni 32 kutoka Atletico Madrid akitoa fedha kwa mashine za benki (ATM) muda mfupi baada ya kuifungia Chelsea katika ushindi wa 2-0 jana dhidi ya Leicester katika Ligi Kuu ya Englans. Diego amefunga mechi zote mbili za awali za Chelsea.
    Mwanzo mzuri: Costa akishangilia bao lake la jana dhidi ya Leicester Uwanja wa Stamford Bridge dakika ya 62
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DIEGO COSTA AKIVUTA MEHELA BAADA YA KUIPIGIA BAO CHELSEA JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top