• HABARI MPYA

    Sunday, August 24, 2014

    SPURS YAUA 4-0, ADEBAYOR NAYE ATUPIA NYAVUNI

    Wazee wa dozi; Mshambuliaji wa Spurs, Emmanuel Adebayor akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao katika ushindi wa 4-0 dhidi ya QPR Uwanja wa White Hart Lane. Mabao mengine ya Tottenham Hotspur yamefungwa na Chadli mawili na moja Eric Dier kikosi cha Mauricio Pochettino kiking'ara leo katika Ligi Kuu ya England.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SPURS YAUA 4-0, ADEBAYOR NAYE ATUPIA NYAVUNI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top