• HABARI MPYA

    Monday, August 25, 2014

    SIMBA SC NA KILIMANI CITY USIKU WA JANA UWANJA WA AMAAN

    Kiungo wa Simba SC, Uhuru Suleiman akimiliki mpira mbele ya beki wa Kilimani City jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Simba SC ilishinda mabao 2-1.
    Kiungo wa Simba SC, Shaaban Kisiga 'Malone' akipasua katikati ya wachezaji wa Kilimani City

    Amri Kiemba katikati ya mabeki wa Kilimani City jana

    Amri Kiemba akimtoka beki wa Kilimani City

    Kiungo wa Simba SC, Ramadhani Singano 'Messi' akiwatoka mabeki wa Kilimani City jana

    Beki wa Simba SC, Issa Rashid 'Baba Ubaya' akigombea mpira na mchezaji wa Kilimani City

    Mshambuliaji wa Simba SC, Amisi Tambwe akimtoka beki wa Kilimani City

    Kiungo wa Simba SC, Shaaban Kisiga 'Malone' akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Kilimani City

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA KILIMANI CITY USIKU WA JANA UWANJA WA AMAAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top