• HABARI MPYA

    Thursday, August 28, 2014

    YANGA SC NA KMKM KATIKA PICHA JANA ZANZIBAR

    Mshambuliaji wa Yanga SC, Geilson Santana 'Jaja' kushoto akiwania mpira dhidi ya beki wa KMKM katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Amaan, Zanzibar usiku wa jana. Yanga SC ilishinda 2-0.
    Winga wa Yanga SC, Abdrey Coutinho kushoto akitafuta mbinu za kumtoka beki wa KMKM
    Kiungo wa Yanga SC, Hassan Dilunga akimtoka beki wa KMKM
    Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima kulia akiwatoka mabeki wa KMKM
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa akimtoka beki wa KMKM
    Winga wa Yanga SC, Simon Msuva kushoto akimtoka beki wa KMKM
    Kocha wa Yanga SC, Marcio Maximo kushoto akizungumza na kiungo Nizar Khalfan kumpa maelekezo kabla ya kuingia kipindi cha pili
    Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya klabu ya Yanga SC, Mama Fatma Karume alikuwepo jana Uwanja wa Amaan kuishuhudia timu yake
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC NA KMKM KATIKA PICHA JANA ZANZIBAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top