Ujuzi hauzeeki; Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akipiga kichwa wakati anacheza soka ya ufukweni nchin Brazil. Hii imefanana kidogo na kichwa alichopiga Robin van Persie, Uholanzi ikiifunga Hispania 5-1 katika Kombe la Dunia

Wenger akipaa kupiga kichwa

Van Persie alipiga namna hii katika mchezo wa kwanza wa Kundi B mjini Salvador

Mholanzi huyo alimfunga bao la hatari sana akimtungu kipa Iker Casillas

0 comments:
Post a Comment