• HABARI MPYA

    Thursday, June 26, 2014

    RAIS MTARAJIWA SIMBA SC, EVANS AVEVA ALIVYOPOKEWA KIGAMBONI JANA

    Mgombea Urais wa Simba SC, Evans Eliaza Aveva kulia akisalimiana na wanachama wa tawi la Kigamboni, Dar es Salaam jana alipowatembelea kwa ajili ya kampeni
    Aveva na wanachama Kigamboni jana

    Kulia ni Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC, Hassan Daalal akiongozana na Aveva

    Wanachama wakimsikilizaa Aveva

    Sera za mgombea zinapofurahisha wanachama, huchekelea

    Mzee Daalal akimuombea kura Aveva

    Aveva akizungumza na wanachama

    Aveva akiagana na wanachama baada ya kumaliza kuzungumza nao

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RAIS MTARAJIWA SIMBA SC, EVANS AVEVA ALIVYOPOKEWA KIGAMBONI JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top