Haina shangwe: Nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo akiondoka baada ya kuifungia Ureno bao la pili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ghana, mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Boye, wakati bao la Ghana lilifungwa na Akwasi Appiah. Ureno na Ghana zote zimetolewa, wakati Ujerumani na Marekani zimetinga 16 Bora kutoka kundi hilo.
Angry fans blast Miami 'thug' Jakobe Thomas for shocking hit on Fernando
Mendoza that left Indiana star bleeding
-
Dave Portnoy led the fury among stunned college football fans who called
out the Miami Hurricanes' Jakobe Thomas for his violent hit on Indiana
quarterback...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment