Mtokea benchi babu kubwa: Divock Origi kulia akipongezwa na mchezaji mwenzake, Kevin Mirallas baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee la ushindi dhidi ya Urusi katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia. Ubelgiji inafuzu 16 Bora ya michuano hiyo inayoendelea Brazil kwa kufikisha pointi sita baada ya mechi mbili. Nafasi ya pili ya kufuzu kutoka kundi hilo bado iko wazi kwa timu nyingine zote tatu, Algeria, Jamhuri ya Korea zitakazomenyana baadaye na Urusi. Urusi na Korea zina pointi moja kila moja, wakati Algeria haina pointi.
Chicago Bears fans turn on Caleb Williams for enjoying night out at hockey
game after NFL playoff loss
-
Williams and Ben Johnson's Bears were dumped out of playoff contention by
the Los Angeles Rams in a 20-17 overtime thriller at Soldier Field.
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment