Mtokea benchi babu kubwa: Divock Origi kulia akipongezwa na mchezaji mwenzake, Kevin Mirallas baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee la ushindi dhidi ya Urusi katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia. Ubelgiji inafuzu 16 Bora ya michuano hiyo inayoendelea Brazil kwa kufikisha pointi sita baada ya mechi mbili. Nafasi ya pili ya kufuzu kutoka kundi hilo bado iko wazi kwa timu nyingine zote tatu, Algeria, Jamhuri ya Korea zitakazomenyana baadaye na Urusi. Urusi na Korea zina pointi moja kila moja, wakati Algeria haina pointi.
Angry fans blast Miami 'thug' Jakobe Thomas for shocking hit on Fernando
Mendoza that left Indiana star bleeding
-
Dave Portnoy led the fury among stunned college football fans who called
out the Miami Hurricanes' Jakobe Thomas for his violent hit on Indiana
quarterback...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment