![]() |
| Aveva katikati akizungumza, kulia ni Mwenyekiti wa zamani wa klabu hiyo, Hassan Daalal na kushoto ni mfadhili wa klabu hiyo na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili, Zacharia Hans Poppe |
![]() |
| Wanachama wa Simba SC wakimsikiliza Aveva |
![]() |
| Babu huyu akimsikiliza kwa makini Aveva wakati akimwaga sera zake |
![]() |
| Akina mama nao hawakubaki nyuma |
![]() |
| Aveva akisikiliza maoni, maswali na ushauri wa wanachama wa Temeke |
![]() |
| Kutoka kulia Daalal, Aveva na Geoffrey Nyange 'Kaburu' mgombea Umakamu wa Urais |
![]() |
| Hans Poppe, Kaburu na Aveva |
![]() |
| Mwenyekiti wa Chama cha Soka Temeke (TEFA), Peter Mhinzi akimuombea kura Aveva kwa wanachama hao |
![]() |
| Mikono juu, wanachama wakionyesha ishara watamoa kura Aveva |
![]() |
| Aveva akisalimiana na mwanachama mlemavu wa Simba SC baada ya kampeni zake |













.png)
0 comments:
Post a Comment