Los Ticos: Wachezaji wa Costa Rica wakimpongeza mwenzao, Bryan Ruis baada ya kufunga bao la kuongoza katika sare ya 1-1 na Ugiriki Kombe la Dunia hatua ya 16 Bora. Costa Rica imeenda Robo Fainali kwa ushindi wa penalti 5-3 baada ya sare hiyo ndani ya dakika 120 na sasa itamenyana na Uholanzi, ambayo mapema iliitoa Mexico kwa kuifunga mabao 2-1.
Angry fans blast Miami 'thug' Jakobe Thomas for shocking hit on Fernando
Mendoza that left Indiana star bleeding
-
Dave Portnoy led the fury among stunned college football fans who called
out the Miami Hurricanes' Jakobe Thomas for his violent hit on Indiana
quarterback...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment