Ruka juu: Mshambuliaji wa Ujerumani, Thomas Muller akiruka juu kupiga ngumi hewani baada ya kuifungia bao pekee timu yake ikishinda 1-0 dhidi ya Marekani katika mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Hata hivyo, timu zote Ujerumani na Marekani zimefuzu hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo. Ujerumani imemaliza na pointi saba, Marekani pointi nne sawa na Ureno, lakini imefuzu kwa wastani wake mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa, huku Ghana ikishinda mkia kwenye kundi hilo kwa pointi yake moja.
Angry fans blast Miami 'thug' Jakobe Thomas for shocking hit on Fernando
Mendoza that left Indiana star bleeding
-
Dave Portnoy led the fury among stunned college football fans who called
out the Miami Hurricanes' Jakobe Thomas for his violent hit on Indiana
quarterback...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment