• HABARI MPYA

    Thursday, June 26, 2014

    UJERUMANI YAIPIGA MAREKANI 1-0, LAKINI ZOTE ZASONGA 16 BORA KOMBE LA DUNIA

    Ruka juu: Mshambuliaji wa Ujerumani, Thomas Muller akiruka juu kupiga ngumi hewani baada ya kuifungia bao pekee timu yake ikishinda 1-0 dhidi ya Marekani katika mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Hata hivyo, timu zote Ujerumani na Marekani zimefuzu hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo. Ujerumani imemaliza na pointi saba, Marekani pointi nne sawa na Ureno, lakini imefuzu kwa wastani wake mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa, huku Ghana ikishinda mkia kwenye kundi hilo kwa pointi yake moja.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UJERUMANI YAIPIGA MAREKANI 1-0, LAKINI ZOTE ZASONGA 16 BORA KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top