NEYMAR AFUNGA PSG YAICHAPA DORTMUND 2-0 NA KUTNGA ROBO FAINALI
Mshambuliaji Mbrazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza PSG dakika ya 28, kabla ya Juan Bernat kufunga la pili dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes Jijini Paris kwenye mchezo wa marudano wa Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. PSG inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza Ujerumani na inakwenda Robo Fainali kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2016PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Congo, Niger play out to 1 all draw
-
Congo and Niger played an entertaining 1-1 draw in Group B of the TOTAL
African Nations Championship (CHAN) match in Cameroon on Thursday. The Mena
ralli...
CHAN 2020: Amavubi face Morocco in crucial clash
-
*Friday*
*Group C Morocco vs Rwanda 18:00 Uganda vs Togo 21:00*
There will be a lot at stake, particularly for Rwanda, when Amavubi face
holders Moroc...
Guber election. Bauchi students endorse pate
-
Paul Orude, Bauchi Coalition of Bauchi State Students and Youths Movement
has endorsed Dr Muhammad Ali Pate of the People’s Democratic Party (PDP)
for ...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment