KIUNGO wa Simba SC, George Lucas ‘Gazza’ akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Yanga SC, Kenneth Pius Mkapa katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (sasa Ligi Kuu) Machi 27, mwaka 1993 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) Jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1 mabao yake yakifungwa na Said Nassor Mwamba ‘Kizota’ marehemu yote dakika ya 47 na 57 kwa pasi za Zamoyoni Mogella, wakati la watani wao lilifungwa na Edward Chumila dakika ya 75.
Cameron Bancroft to MISS Sheffield Shield final after freak biking accident
sees former Australia star sidelined for crucial game
-
The star batter fell off his bike and has been ruled out due to a head
injury, in a bitter blow for WA ahead of the final against Tasmania,
scheduled for T...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment