Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 53 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Sheffield Wednesday katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Hillsborough, Sheffield hivyo kutinga Robo Fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment