• HABARI MPYA

    Friday, March 06, 2020

    IGHALO APIGA MBILI MAN UNITED YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA FA

    Odion Ighalo akishangilia baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika za 41 na 70 kufuatia Luke Shaw kufunga la kwanza dakika ya 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Derby County kwenye mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Pride Park hivyo kutinga Robo Fainali 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: IGHALO APIGA MBILI MAN UNITED YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top