Odion Ighalo akishangilia baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika za 41 na 70 kufuatia Luke Shaw kufunga la kwanza dakika ya 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Derby County kwenye mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Pride Park hivyo kutinga Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AZ Alkmaar striker Myron Boadu unhappy with his form
-
AZ Alkmaar striker Myron Boadu has admitted he is not happy with his
current form in front of goal, having scored just four goals this
season. Last season...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment