KIKOSI cha Small Simba ya Zanzibar mwaka 1991 kikiwa Jijini Mbabane, Swaziland (sasa Ewatini) kabla ya mechi ya marudiano Raundi ya Awali Kombe la Washindi Afrika dhidi ya wenyeji, Highlanders. Kutoka kulia waliosimama ni Hussein Lee (Meneja), Ridhaa Hamisi, Mohamed Kachumbari, Duwa Said, Karume Mussa, Ubwa Makame ‘Mzungu’, Innocent Haule, Rashid Hamisi na Hamisi Mpemba. Waliochuchumaa kutoka kulia ni Hajji Mwinyi, Gharib Mahmoud ‘Latto’, Juma Bakari ‘Kidishi’, Ally Diego, Issa Lambo, Zuberi Wambura, Mahmoud Abofu na Hamisi Kisaka. Highlanders ilishinda 3-1 na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 kufuatia Small SImba kushinda 1-0 Zanzibar.
Manchester United left back Luke Shaw laughs off his 'Shawberto Carlos' nickname
-
Shaw has been one of Ole Gunnar Solskjaer's star men this season and as a
result of his marauding style down the left wing, fans have compared him to
Real ...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment