• HABARI MPYA

    Sunday, March 15, 2020

    SMALL SIMBA KABLA YA MECHI NA MBABANE KOMBE LA WASHINDI 1991

    KIKOSI cha Small Simba ya Zanzibar mwaka 1991 kikiwa Jijini Mbabane, Swaziland (sasa Ewatini) kabla ya mechi ya marudiano Raundi ya Awali Kombe la Washindi Afrika dhidi ya wenyeji, Highlanders. Kutoka kulia waliosimama ni Hussein Lee (Meneja), Ridhaa Hamisi, Mohamed Kachumbari, Duwa Said, Karume Mussa, Ubwa Makame ‘Mzungu’, Innocent Haule, Rashid Hamisi na Hamisi Mpemba.  Waliochuchumaa kutoka kulia ni Hajji Mwinyi, Gharib Mahmoud ‘Latto’, Juma Bakari ‘Kidishi’, Ally Diego, Issa Lambo, Zuberi Wambura, Mahmoud Abofu na Hamisi Kisaka. Highlanders ilishinda 3-1 na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 kufuatia Small SImba kushinda 1-0 Zanzibar.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SMALL SIMBA KABLA YA MECHI NA MBABANE KOMBE LA WASHINDI 1991 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top