Winga Mghana wa Yanga SC, Bernard Morrison akifanya mazoezi ya kuruka kamba katika maegesho ya magari kwenye nyumba anayoishi eneo la Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam kujiweka fiti kipindi hiki ambacho klabu yake imesimamisha mazoezi ya timu kwa agizo la Serikali kufuatia mlipuko wa virusi vya corona dunaini kote
CAF U20 Cup of Nations: Percious Boah named MoTM in victory over Gambia
-
Ghana’s Percious Boah has been named Man of the Match in the Black
Satellites semifinal victory over The Gambia at the Africa U-20 Cup of
Nations in Maur...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment