Winga Mghana wa Yanga SC, Bernard Morrison akifanya mazoezi ya kuruka kamba katika maegesho ya magari kwenye nyumba anayoishi eneo la Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam kujiweka fiti kipindi hiki ambacho klabu yake imesimamisha mazoezi ya timu kwa agizo la Serikali kufuatia mlipuko wa virusi vya corona dunaini kote
Ghana winger Fatawu Issahaku disappointed after Leicester FA Cup exit
-
Abdul Fatawu Issahaku has expressed disappointment following Leicester
City's FA Cup exit after a late defeat to Chelsea at Stamford Bridge. The
20-year-o...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment