Winga Mghana wa Yanga SC, Bernard Morrison akifanya mazoezi ya kuruka kamba katika maegesho ya magari kwenye nyumba anayoishi eneo la Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam kujiweka fiti kipindi hiki ambacho klabu yake imesimamisha mazoezi ya timu kwa agizo la Serikali kufuatia mlipuko wa virusi vya corona dunaini kote
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment