Wachezaji wa timu ya taifa ya vijana ya Liberia chini ya umri wa miaka 16 wakitoka nje Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam baada ya kuwasili nchini kwa ajili ya kushiriki mashindano maalumu ya U16 yatayoshirikisha nchi tatu, wakiwemo wenyeji, Tanzania kuanzia Machi 10, mwaka huu
Wachezaji wa Liberia wakitoka nje ya JNIA baada ya kuwasili nchini kwa ajili ya kushiriki mashindano maalumu ya U16
Wachezaji wa Liberia wakitoka nje ya JNIA baada ya kuwasili nchini kwa ajili ya kushiriki mashindano maalumu ya U16
0 comments:
Post a Comment