• HABARI MPYA

    Saturday, March 07, 2020

    KIKOSI CHA LIBERIA KILIVYOWASILI DAR ES SALAAM KUSHIRIKI MICHUANO YA U16 KUANZIA MACHI 10 NCHINI

    Wachezaji wa timu ya taifa ya vijana ya Liberia chini ya umri wa miaka 16 wakitoka nje Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam baada ya kuwasili nchini kwa ajili ya kushiriki mashindano maalumu ya U16 yatayoshirikisha nchi tatu, wakiwemo wenyeji, Tanzania kuanzia Machi 10, mwaka huu 

    Wachezaji wa Liberia wakitoka nje ya JNIA baada ya kuwasili nchini kwa ajili ya kushiriki mashindano maalumu ya U16 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIKOSI CHA LIBERIA KILIVYOWASILI DAR ES SALAAM KUSHIRIKI MICHUANO YA U16 KUANZIA MACHI 10 NCHINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top