• HABARI MPYA

    Saturday, March 14, 2020

    TANZANIA YAPIGWA 5-0 NA UGANDA NA KUTUPWA NJE MBIO ZA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA WANAWAKE U-17

    TIMU ya taifa ya wasichana chini ya umri wa miaka 17 jioni ya leo imefungwa mabao 5-0 na wenyeji, Uganda kwenye mchezo wa marudiano kufuzu Fainali za Kombe la Dunia Uwanja wa Lugogo Jijini Kampala hivyo kutolewa kwa jumla ya mabao 6-2 kufuatia kushinda 2-1 kwenye mechi ya kwanza Machi 1 nyumbani, Dar es Salaam.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANIA YAPIGWA 5-0 NA UGANDA NA KUTUPWA NJE MBIO ZA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA WANAWAKE U-17 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top