• HABARI MPYA

    Wednesday, March 04, 2020

    BOSI WA FIFA AKIWA NA RASI WA TFF, KARIA BAADA YA KUTUA DAR KUZUNGUMZIA MAENDELEO YA SOKA TANZANIA

    Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Wallace Karia (kushoto) akiwa na Mshauri wa Ufundi wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kanda ya Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika, Serame Letsoaka (katikati) ambaye yupo nchini kwa siku tatu kuanzia leo kwa ajili ya mazungumzo kuhusu maendeleao ya mchezo huo nchini. Kulia ni Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF, Oscar Mirambo.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BOSI WA FIFA AKIWA NA RASI WA TFF, KARIA BAADA YA KUTUA DAR KUZUNGUMZIA MAENDELEO YA SOKA TANZANIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top