Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Wallace Karia (kushoto) akiwa na Mshauri wa Ufundi wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kanda ya Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika, Serame Letsoaka (katikati) ambaye yupo nchini kwa siku tatu kuanzia leo kwa ajili ya mazungumzo kuhusu maendeleao ya mchezo huo nchini. Kulia ni Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF, Oscar Mirambo.
Bucks' Giannis Antetokounmpo Has No Timetable to Return from Knee Injury
-
Milwaukee Bucks forward Giannis Antetokounmpo will miss an indefinite
amount of time with a knee injury, head coach Mike Budenholzer told
reporters on Sund...
2 minutes ago
0 comments:
Post a Comment