Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akiruka kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi kwa pasi nzuri ya beki Mholanzi, Virgil van Dijk dakika ya 33 ikiwalaza 2-1 AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bournemouth ilitangulia kwa bao la Callum Wilson akimalizia pasi ya Jefferson Lerma dakika ya tisa kabla ya Mohamed Salah kuisawazishia Liverpool dakika ya 25 kwa pas ya Mane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ole Gunnar Solskjaer keeping 'fingers crossed' Marcus Rashford is fit to play against Granada
-
Rashford missed training on Wednesday with an ongoing foot and ankle issue,
but manager Ole Gunnar Solskjaer has his 'fingers crossed' he will be
available...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment