Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akiruka kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi kwa pasi nzuri ya beki Mholanzi, Virgil van Dijk dakika ya 33 ikiwalaza 2-1 AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bournemouth ilitangulia kwa bao la Callum Wilson akimalizia pasi ya Jefferson Lerma dakika ya tisa kabla ya Mohamed Salah kuisawazishia Liverpool dakika ya 25 kwa pas ya Mane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
San Jose Earthquakes select Ghanaian midfielder George Asomani in MLS Draft
-
Ghanaian midfielder George Asoman was selected 39th overall in the MLS
draft by the San Jose Earthquakes.He excelled for the North Carolina State
men's soc...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment