Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 81 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Real Sociedad usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hivyo kurejea kileleni ikifikisha pointi 58 katika mchezo wa 27, sasa ikiizidi pointi mbili Real Madrid ambayo leo tamemyana na Real Betis kuanzia Saa 5:00 usiku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United co-owner Sir Jim Ratcliffe 'confident of luring Gareth Southgate
to Old Trafford as England boss emerges as the overwhelming choice' to
replace Erik ten Hag after INEOS hold talks with club legends
-
Ratcliffe is increasingly confident of tempting Southgate to Old Trafford
after his INEOS sports team canvassed United legends.
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment