Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 81 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Real Sociedad usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hivyo kurejea kileleni ikifikisha pointi 58 katika mchezo wa 27, sasa ikiizidi pointi mbili Real Madrid ambayo leo tamemyana na Real Betis kuanzia Saa 5:00 usiku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Southampton remain firm star striker Danny Ings will NOT leave the club despite Tottenham interest
-
Ings' contract has 18 months left on his contract and is yet to put pen to
paper on a new deal with Southampton, with the former Liverpool forward
reported...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment