Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emanuel Ulimwengu akifanya mazoezi ya viungo nyumbani kwake mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) anakochezea klabu ya TP Mazembe, kipindi hiki michezo dunia nzima imesitishwa baada ya mlipuko wa homa ya virusi ya corona inayosababisha ugonjwa wa COVID 19
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment