Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiwa ameshika tuzo ya Ballon d'Or 2019 baada ya kukabidhiwa jana Jijini Paris, Ufaransa kufuatia kushinda kwa mara ya sita ambayo inakuwa rekodi. Messi amewashinda beki Mholanzi, Virgil van Dijk aliyemaliza wa pili na mshambuliaji Mreno, Cristiano Ronaldo aliyeshika nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Penix Jr. to Visit Raiders, Broncos, More Before NFL Draft amid
Giants Rumors
-
Washington quarterback Michael Penix Jr. will reportedly meet with a
handful of NFL teams following his pro day on Thursday. Per ESPN's Brady
Henderson, Pe...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment