Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiwa ameshika tuzo ya Ballon d'Or 2019 baada ya kukabidhiwa jana Jijini Paris, Ufaransa kufuatia kushinda kwa mara ya sita ambayo inakuwa rekodi. Messi amewashinda beki Mholanzi, Virgil van Dijk aliyemaliza wa pili na mshambuliaji Mreno, Cristiano Ronaldo aliyeshika nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fulham 0-1 Chelsea: Mason Mount goal settles London derby
-
Mason Mount finally breaks the resistance of 10-man Fulham as Chelsea
labour their way to a second Premier League win in seven.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment